Watu wa DGI wana tusumbua, wanaleta karatasi ya bongo yenye inaonesha deni yangu ya 2000000, alafu wanasema kwa kunisaidia niwape 300000fc, miye nakatala, nawaambia kama watakuya funga, wakuye.

  • 300000
  • Nataka tupiganishe rushwa inaleta umaskini
  • Baraka
  • 10/04/2023
  • mwajuma AKILIMALI